NYOTA wa kimataifa wa Brazil
anayekipiga katika klabu ya Paris Saint Germain, Lucas Moura amesema Ulaya ni
sehemu pekee ya wachezaji wenye viwango vya juu zaidi duniani na kurudi katika
soka la nyumbani ni kurudi hatua nyingi nyuma.
“Nitakuwa nimerudi hatua nyuma katika
maisha yangu ya soka kama nitarudi Brazil” amesema Winga huyo ambaye PSG ilimsajili misimu miwili iliyopita kutoka
Sao Paulo kwa Euro milioni 45 sawa na dola za kimarekani milioni 55.
0 comments:
Post a Comment