RAUNDI ya nane ya ligi kuu soka Tanzania bara
ilikamilika jana kwa mechi tatu kupigwa ingawa moja ilichezwa kwa dakika 84
kufuatia kuahirishwa baada ya dakika 6 za kipindi cha kwanza siku ya jumamosi
baina ya Mtibwa Sugar na Stand United.
MATOKEO YA RAUNDI YA NANE
Simba SC 0 v 1 Kagera Sugar FC
Mtibwa Sugar 1 v 1 Stand United
JKT Ruvu 0 v 1 Ruvu Shootings
Mbeya City fc 1 v 0 Ndanda fc
Polisi Morogoro 2 v 0 Mgambo JKT
Yanga SC 2 v 2 Azam fc
BAADA YA MATOKEO HAYO MSIMAMO WA LIGI HIYO UKO
HIVI
0 comments:
Post a Comment