Huyo ni Goran Kapunovic,
kocha mpya wa Simba ambaye ametua leo saa 1:30 asubuhi.
Akiwa uwanja wa Ndege amesema ujio wake Simba anataka kuona
anaipa mafanikio timu hiyo,ana kiu ya mafanikio kutokana na kuwa nje ya soka
kwa miezi minne sasa, anataka kuanza safari mpya na Simba ambayo kwake ni timu
kubwa hapa Afrika, coaching philosophy yake ni work hard,order,discipline
na respect lakini anapenda style ya totally offensive
0 comments:
Post a Comment