Monday, November 10, 2014

KATIKA uwanja wa CCM Kambarage Shinyanga mzimu wa vipigo umeendelea kuwakumba wagonga nyundo wa Mbeya, Mbeya City fc kufuatia kutandikwa bao 1-0 na wenyeji, Stand United.

Kabla ya mechi hiyo, makocha wa timu zote mbili walizungumzia kipute hich
Mechi ilianza kwa timu zote kusaka bao, lakini Stand United walifanikisha ndoto yao ya kutikisa nayvu kupitia kwa Daniel Barnabas.
Huo ulikuwa ushindi wa kwanza wa nyumbani kwa Stand United kwani tangu kuanza kwa ligi kuu hawakuwahi kushindi katika uwanja wao.
Walianza kwa kuchapwa mabao  4-1 na Ndanda fc, wakatandikwa mabao 3-0 na Yanga na kutoka sare ya bao 1-1 na Tanzania Prisons na hatimaye wamejikuta wakifufukia kwa Mbeya City.

Hata hivyo, Stand United wangeshinda zaidi ya bao moja kwani walipoteza Mkwaju wa penati.
Hali imezidi kuwa mbaya kwa kocha Juma Mwambusi kwani ni mechi ya nne mfufulizo anapokea kichapo.


Awali alitandikwa bao 1-0 na Azam fc katika uwanja wa Sokoine, akapigwa mabao 2-0 na Mtibwa Sugar katika uwanja huo, alisafiri mpaka CCM Mkwakwani Tanga ambapo alikula kipigo cha 2-1 kutoka kwa Mgambo JKT.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video