Friday, November 14, 2014


MTIBWA SUGAR na Yanga walichuana septemba 20 mwaka huu uwanja wa Jamhuri Mkoani Morogoro.

Mashabiki lukuki walijitokeza kushuhudia majeshi ya Yanga yakiongozwa na Wabrazil wawili katika benchi la ufundi yaana Marcio Maximo na msaidizi wake Leonardo Neiva na mshambuliaji Geilson Santos Santana ‘Jaja’.

Mbrazil mwingine ambaye ni kiungo mshambuliaji,  Andrey Coutinho alikuwa majeruhi kwa wakati huo.

Jaja aliingia uwanjani akiwa na kumbukumbu ya kufunga mabao mawili peke yake katika mchezo wa Ngao ya Jamii,  Yanga ikiicharaza Azam fc mabao 3-0.

Watu walifurika katika mechi hiyo, na rekodi aliyowekwa na Jaja nchini ni kukosa penati katika mchezo wake wa kwanza wa ligi kuu.

Naye Maximo aliweka rekodi ya kufungwa katika mechi yake ya kwanza akifundisha ngazi ya klabu nchini.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video