Monday, November 10, 2014

 Picha na Bin Zubeiry
Mkoani Morogoro katika uwanja wa Jamhuri, timu ya soka ya Polisi ilitamba kwa kuichapa Tanzania Prisons bao 1-0.
Timu zote mbili zilianza mchezo kwa kushambuliana, lakini washambuliaji wa pande zote walikosa umakini.

Hadi dakika 45 za kipindi cha kwanza zinakamilika, hakuna timu iliyofanikiwa kutikisa nyavu za mpinzani wake.

Katika kipindi hicho timu zote zilifanya mabadiliko ya wachezaji kuimarisha vikosi vyao.

Mabadiliko hayo yaliisaidia Polisi iliyojipatia  bao pekee la ushindi katika dakika ya 74, mfungaji akiwa Danny David Mrwanda .


Baada ya mechi kumalizika, manahodha wa timu zote walizungumzia mechi hiyo.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video