Sunday, October 5, 2014

Baada ya beki wa Chelsea Garry Cahil kumfanyia madhimbi yaliyosadikika kuwa ni ya kukusudia mshambuliaji wa Arsenal, Alex Sanchez, meneja wa Arsenal, Arsene Wenger alikasirishwa zaidi na kitendo hicho na kuamua kumpayukia beki huyo wa Chelsea ambapo naye Morinho aliamua kumlipa Wenger kwa kumbwatukia vibaya.

Wenger aliona kama Mourinho amemkosea heshima kwa kumbwatukia na ndipo akaamua kumfuata akitaka kumtandika kofi lakini waliishia kusukumana kama vile wanakumbusha michezo yao ya zamani wakiwa watoto.
The scrap between the two managers certainly raised the atmosphere at Stamford Bridge, and Wenger was even more unhappy when Arsenal fell behind soon after
Wenger kacharuka! we Mourinho umezoea kuniropokea kama mtoto mdogo, hujua kama mimi ni kakayako?...na unikome kabisa.
 Mchezo wa leo ulikuwa mzuri sana kwa kuwa timu zote zilikuwa zimekamiana, lakini kadiri muda ulivyokuwa unakwenda Chelsea walizidisha mbinu na kufanikiwa kupata goli la kwanza kwa njia ya penati dakika ya 27 kupitia Eden Hazard huku goli la pili likifungwa naye Diego Costa dakika ya 78 baada ya kuwachomoka mabeki wa Arsenal.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video