Friday, October 10, 2014

Usiku wa jana Oct 9, 2014 ulikuwa ni usiku mzuri sana kwa timu ya taifa ya Uingereza katika dimba la kimataifa la Wembley, baada ya kuweza kutoka na ushindi mnene wa magoi 5-0 dhidi ya San Marino.

Roy Hodgson Wayne Rooney and England manager Roy Hodgson speak to the media during the England press conference ahead of their FIFA World Cup qualifier against San Marino at The Grove Hotel on October 11, 2012 in Watford, England.
Kulia ni Roy Hogson, akiwa na nahodha wa timu ya taifa ya Uingereza na klabu ya Man U, Wayne Mark Rooney wakizungumza na waandishi wa habari.
"Tulikuwa na uwezo mkubwa wa kufunga magoli mengi zaidi ya hayo matano tuliyofunga kwani kadiri muda ulivyokuwa una kwenda, wachezaji wangu walikuwa wakiongezeka morali ya kutaka kuongeza magoli mengine.

"Angalia jinsi wachezaji wangu walivyokuwa wakimiliki mpira kwa muda mrefu huku waki chachafya goli la wapinzani; naweza kusema hatukuwa na bahati zaidi ya hapo lakini yote kwa yote nawshukuru sana vijana wangu kwa kazi nzuri waliyo ifanya." Hiyo ni kauli ya kocha mkuu wa timu ya taifa ya Uingereza, Roy Hogson.
England captain Rooney added a second after 43 minutes from the penalty spot - his 42nd international goal

Wafungaji wa Uingereza (Three lions) ni Phil Jagielka, Wayne Rooney (magoli 2), Danny Welbeck, Andros townsend.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video