Friday, October 10, 2014

Pamoja na kwamba bado Thierry Henry anamkataba wa mwaka mmoja kunako klabu ya New York Red Bulls ya nchini Marekani, timu nyingi zimeanza kumuwinda kwa ukaribu mno, huku PSG pamoja na Monaco zikitajwa kuwa mstari wa mbele katika dili hilo.

The Frenchman, celebrating at the Emirates, is Arsenal's leading scorer after two spells in North London
Thierry Henry ni mmoja kati ya wachezaji nguli wa klabu ya Arsenal

Henry 37, alijiunga na New York Red Bulls 2010 mpaka sasa ambapo mkataba wake na klabu hiyo unasemakana kumalizika  mwishoni mwa mwaka huu ambapo sasa anaweza kurudi zake barani Ulaya mwanzoni mwa January 2015.

Ijapokuwa  tetesi nyingi zinasema kwamba ni lazima Henry arudi Uingereza kumalizia soka lake kunako klabu yake ya zamani ya  Arsenal kwa awamu ya tatu, wachambuzi wa mambo wanasema siyo rahisi kwa sababu ya uwezo mkuwa wa fedha walizo nazo timu za Ufaransa; PSG na FC Monaco ambao tayari wameonyesha kumuwania nyota huyo.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video