Thursday, October 16, 2014

Maneno yanayo onekana katika picha ya basi la simba  "KILIMO KWANZA" na "BUNJU" ni maneo ambayo hayapo katika mabasi halisi ya Simba Sc.
Amini usiamini mechi ya Simba  na Yanga (Dar Derby), ni mchezo wenye hisia kali sana kwa mashabiki wa timu hizi mbili, tofauti na timu hizi zinapocheza na timu zingine.

Hayo ni maneno yanayo jaribu kukumbusha kipigo cha magoli 5-0 ambacho Simba ilimtandika Yanga mwaka 2012 katika uwanja wa taifa jijini Dar es salam. Simba ndiyo inaongoza kwa kumfuna Yanga magoli mengi mara wanapo kutana.
Nimekuwa nikiwafuatilia mashabiki wa timu hizi mbili kwa ukaribu katika mitandao ya kijamii hususani Face book, ndipo nikagundua hali imefikia patamu sasa kwani licha ya mashabiki hawa "Simba vs Yanga" kutumia misemo mbalimbali ya kukejeliani, wameona hiyo haitoshi na sasa wameanza  kwenda mbali zaidi kwa kutumia ubunifu wa kuhariri picha (picture editing) ambazo hurushwa katika mitandao ya kijamii kila mmoja akijitamba na timu yake.

Kwa sasa Simba Sc klabu bado ipo Afrika ya kusini ikijiwinda na mchezo huo wa watani wa jadi ambao utafanyika siku ya Juma mosi Oct 18, 2014 katika uwanja wa taifa Dar es salaam, wakati huo huo Yanga Sc klabu nao wapo hahapa mjini maeneo ya Boko ambapo hufanya mazoezi yao kila siku katika uwanja wa Boko Veterans.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video