Monday, October 6, 2014

Katika mchezo wa mwendelezo wa ligi kuu nchini Uingereza ulioendelea jana dimbani Stanford Bridge  na kushuhudiwa Chelsea ikiendeleza ubababe wake dhidi ya The Gunners kwa kuichapa magoli 2-0, kulitokea tukio la kufurahisha zaidi baada ya kocha wa Arsenal, Arsene Wenger kutaka kumpiga kocha wa Chelsea Jose Mourinho kwa kile alicho dai kwamba Mourinho alimbwatukia.

Lakiki kama ilivyokuwa kawadia kwa mitandao ya kijamii, jana hawakuwa nyuma kutengeneza vikatuni kulingana na tukio lenyewe.

The Arsenal boss lands the knock out blow on Mourinho here but the Chelsea boss had the last laugh
Kama ingekuwa ni masumbwi (ngumi), Wenger alikuwa ameshinda:Hapo inaonekaka Wenger(aliyesimama) kamshinda Mourinho kwa KNOCK OUT. Teh teh teh............ 

There was plenty of handbags in this scuffle as Wenger pushed Mourinho on the Stamford Bridge sidelines
Bila shaka hapa, ugomvi wao umefananishwa na ugmvi wa wanawake kwa kuwa hakuna aliyedhubutu kumpiga mwenzake, zaidi waliishia kusukumana tu. Kawaida wanawake hawajui kujiandaa na vita wanapigana huku wameshikilia vitu vyao mikononi, ikiwemo pochi zao.



William Hill shows Jose Mourinho landing a pivotal blow on Arsene Wenger shortly after the incident
Kama ingekuwa ni BOXING; hapo Mourinho kamtisha Wenger kama anampiga ya kichwa halafu bila kutumia akili  Wenger anapeleka mikono yote tumboni kupangua, Mourinho anamshona ya kichwa. Mourinho is master tactics .
Mourinho and Wenger are trading blows here as Chelsea and Arsenal battled against each other on the pitch


 Hapo sasaaaa.....!!!!!!  walai Wenger kacharuka baada ya kula moja ya kichwa na yeye katuma kitu kizito moja kwa moja  kamshindilia Mourinho ya shavu la kulia mpaka akatapika chai aliyokunywa kabla ya pambano!

Kihistoria hii ni mechi ya tano Arsenal anafungwa na Chelsea kati ya mechi sita walikutana tangu msimu wa 2012/2013 mpaka jana Sep 5, 2014

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video