Thursday, October 30, 2014

KIKOSI cha Azam FC kimeondoka Dar es Salaam mchana wa leo kwenda Mtwara kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu yaVodacom Tanzania Bara dhidi ya wenyeji Ndanda FC Jumamosi Uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini humo
Lakini katika kikosi hicho beki chipukizi Gardiel Michael na washambuliaji wawili wa kigeni, Kipre Herman Tchetchewa Ivory Coast na Ismaila Diara wa Mali hawamo.
Meneja wa Azam FC, Jemadari Said Kazumari amesema kwamba, Michael na Diara ni majeruhiwakati KipreTchetche hajarejea kutoka nchini kwao, Ivory Coast alipokwenda kwa matatizo ya kifamilia.
Kipre alikwenda kwao, Ivory Coast baada ya mechi dhidi ya Mbeya City mjini Mbeya wiki iliyopita na hakuwepowakati timu hiyo inafungwa 1-0 na JKT Ruvu Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam mwishoni mwawiki.
Jemadari amesema wanakwenda Mtwara na kikosi kikubwa, kwa sababu baada ya mchezo huo dhidi ya Ndanda,wanatarajiwa kwenda kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya Kariakoo United mjini Lindi
Mabingwa hao watetezi wanaofundishwa na kocha Mcameroon, Joseph Marius Omog wana pointi 10 baada yamechi tanokati ya hizo sare mojawamefungwa moja na kushinda tatu.
Azam FC inashika nafasi ya pili katika msimamo wa Ligi Kuunyuma ya Mtibwa Sugar iliyopo kileleni kwa pointi zake13 za mechi tano pia, baada ya kushinda michezo minne na sare moja.
Yanga SC iliyomaliza nyuma ya mabingwa Azam FC msimu uliopitapia wana pointi 10 baada ya sare moja,kufungwa moja na kushinda mechi tatulakini wanakuwa nafasi ya tatu kwa kuzidiwa wastani wa mabao.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video