Saturday, September 13, 2014

7Katibu Mkuu wa Yanga Bw. Beno Njovu akizindua semina ya Mfuko wa Bima ya Afya na Watendaji na wachezaji wa Klabu ya Yanga  iliyofanyika jana makao makuu ya klabu hiyo mtaa wa Jangwani, katikati ni Mkurugenzi wa Uendeshaji (NHIF),Eugen Mikongoti na kushoto ni Christopher Mapunda Meneja wa NHIF Wilaya ya Ilala .Klabu ya Yanga imekuwa ya kwanza kuanza utaratibu wa kuijunga na mfuko wa Bima ya afya.8Mkurugenzi wa Uendeshaji (NHIF),Eugen Mikongoti akizungumza na watendaji wa Yanga na wachezaji wakati wa semina hiyo jana9Mkurugenzi wa Uendeshaji (NHIF),Eugen Mikongoti akizungumza na watendaji wa Yanga na wachezaji wakati wa semina hiyo jana10Mmoja wa maofisa wa Mfuko wa Bima ya Afya akiwaonyesha makocha wa Yanga baadhi ya picha alizopiga  nao. Kulia ni kocha wa yanga, Marcio Maximo.11Christopher Mapunda Meneja wa NHIF Wilaya ya Ilala akitoa mada wakati wa semina na wachezaji wa timu ya Yanga jana.12Baadhi ya wachezaji na maofisa pamoja na wanachama wa Yanga wakiwa katika semina hiyo.13Baadhi ya wanachama wa Yanga wakiwa katika semina hiyo kushoto ni mwanachama wa Yanga Bw Said Hassan Kipara14Katibu Mkuu wa Yanga Bw. Beno Njovu akizungumza katika semina hiyo kulia ni Hance John Mwankenja ,Afisa Matekelezo wa NHIF 15Mmoja wa maofisa akigawa majarida yanayoelezea faida za Mfuko wa Bima ya Afya ya jamii katika semina hiyo 17Ofisa   Mawasiliano mwandamizi  NHIF  Bw. Luhende Andrew Singu akizungumza na wachezaji hao jana wakati wa semina hiyo

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video