Friday, September 12, 2014

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

MCHEZO WA KIRAFIKI WA KIMATAIFA/MABADIRIKO YA KIINGILIO

Jumamosi hii kwenye uwanja wa Sokoine kutakuwa na mchezo wa kirafiki kati ya Mbeya City Fc na Vipers FC (Zamani Bunamwaya Fc)ya Uganda .

Mchezo huo unamepangwa kuanza saa 10:00.

Vipers Fc inatarajiwa kuwasili Mbeya jioni ya leo ikitokea Entebbe kupitia Dar Es Salaam.

Kiingilio kitakuwa Sh.3000

Hii ikiwa ni mabadiliko kutoka kiingilio kilichotangazwa awali cha sh. 5000

DISMAS TEN
OFISA HABARI
MBEYA CITY COUNCIL FC.



0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video