Thursday, September 25, 2014


Frank Lampard scored twice in 7-0 defeat of Sheffield Wednesday in the Capital One Cup third round 
Frank Lampard alifunga mawili dhidi ya Sheffield katika mechi ya raundi ya tatu ya kombe la Capital One

KOCHA wa Manchester City, Manuel Pellegrini ameshindwa kukanusha taarifa za kutaka kumbakisha Frank Lampard katika dimba la Etihad zaidi ya muda uliopo kwenye mkataba wake wa mkopo kutoka timu dada ya New York City FC.
Lampard anatakiwa kurudi Marekani mwezi januari, lakini mkongwe huyo aliyesawazisha bao dhidi ya klabu yake ya zamani ya Chelsea mwishoni mwa wiki iliyopita  na kufunga mengine mawili jana katika ushindi wa 7-0 dhidi ya Sheffield, kombe la Capita one ameonesha thamani kwa City licha ya kuwa na miaka 36.
Jana usiku shabiki mmoja alivamia uwanja wakati mechi inaendelea na kufanikiwa kupiga picha na nyota huyo wa zamani wa England.
Lampard also scored against Chelsea in the Premier League last weekend, although he didn't celebrate
Lampard pia alifunga dhidi ya Chelsea mwishoni mwa wiki katika mechi ya ligi kuu England.

Akizungumza baada ya mechi jana, Pellegrini aliulizwa kuhusu taarifa za kumbakisha Lampard kwa msimu mzima, lakini hakusema chochote zaidi ya kusema: "Ni jambo ambalo tutaliangalia baadaye. Tutaona nini kinatokea januari na tuna miezi miwili au mitatu ya kuamua".
"Anastahili sifa zote anazopata kutoka kwa mashabiki. Tutafanya kila linalowezekana kwa timu na mchezaji".

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video