Tuesday, September 23, 2014


Louis van Gaal splashed out £60m to bring Argentina winger Angel di Maria to the club from Real Madrid
Louis van Gaal alitumia paundi milioni 60 kumsajili winga wa Argentina  Angel di Maria kutokea klabu ya Real Madrid

BEKI wa zamani wa Manchester United, Phil Neville anaamini klabu hiyo inahitaji tena paundi milioni 100 za usajili kama wanataka kupambana kusaka ubingwa wa ligi kuu soka nchini England msimu huu.
Msimu uliopita, United walimaliza katika nafasi ya saba na kumsababisha kocha mpya, Louis van Gaal atumie zaidi ya paundi milioni 150 kuwasajili Angel di Maria, Luke Shaw, Ander Herrera, Marcos Rojo, Daley Blind na nyota aliyesainiwa kwa mkopo Radamel Falcao.
United walishindwa kusaini beki wa kati ingawa wameanza msimu kwa kuwatumia Chris Smalling, Phil Jones na Jonny Evans ambao hawaja katika kiwango kizuri, huku beki kinda  Tyler Blackett akijitahidi kuimarika.
Van  Gaal (centre) reacts during Manchester United's humiliating defeat at Leicester
Van  Gaal (katikati)  akionekana kuumizwa na kipigo walichoambulia Manchester United dhidi ya Leicester

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video