Thursday, September 25, 2014


UEFA inajiandaa kuichunguza Liverpool kwa kudaiwa kuvunja sheria ya FFP

LIVERPOOL wanachunguzwa na UEFA kwa kudaiwa kuvunja sheria ya matumizi ya fedha.
Liverpool, Monaco, Inter Milan na Roma — ambao hawakuwepo katika michuano ya Ulaya msimu uliopita wametuma akaunti zao UEFA na sasa wanasubiri kuulizwa juu ya taarifa nyingine za kifedha.
Hakuna vikwazo watakavyowekewa kwa hatua hii, ingawa kifungo cha kutopata fedha za ligi ya mabingwa kinaweza kufuata. 
The Reds are hoping to write off proportion of losses as allowable stadium expenditure

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video