Saturday, September 27, 2014


Arsenal forward Alex Oxlade-Chamberlain (left) scores the equaliser against Tottenham
Mshambuliaji wa Arsenal, Alex Oxlade-Chamberlain (kushoto) alifunga goli la kusawazisha dhidi ya Tottenham

MASHABIKI wa Emirates walishangilia kwa matarajio ya kushinda mechi ya watani wa jadi wa kaskazini mwa London baina ya Arsenal na Tottenham, lakini wametoka sare ya 1-1.
Arsenal walitawala mchezo na kushambuli zaidi, lakini hawakuweza kupata magoli.
Tottenham walikuwa wa kwanza kuandika bao la kuongoza katika dakika ya 56 kupitia kwa Nacer Chadli, lakini Alex Oxlade-Chamberlain aliisawazishia Arsenal mnamo dakika ya 74.

Arsenal's Alex Oxlade-Chamberlain celebrates scoring the equaliser against Tottenham at the Emirates
Alex Oxlade-Chamberlain akishangilia goli lake
Tottenham midfielder Nacer Chadli scores the opening goal against Arsenal on Saturday
Kiungo wa Tottenham, Nacer Chadli akiifungia klabu yake bao la kuongoza dhidi ya Arsenal

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video