Sunday, September 28, 2014


Arjen Robben plans to build a museum at home to house the many souvenirs from his illustrious career
Arjen Robben anapanga kujenga nyumba ya makumbusho

WANASOKA wengi wanafanikiwa kutunza vitu vichache kati ya vingi walivyoshinda katika maisha yao ya soka.
Lakini nyota wa Bayern Munich, Arjen Robben amekuwa na wazo la kutunza kila kitu alichofanikiwa kushinda.

Mchezaji huyo wa zamani wa Real Madrid, Chelsea na PSV Eindhoven  ametangaza kuwa ana mpango wa kujenga nyumba ndogo ya makumbusho na kutunza vitu vyote alivyoshinda kama ishara ya kumkumbuka akimaliza maisha yake.
"Nikiwa nimekaa na mke wangu ndani, niliota kukusanya vitu vyote na kujenga nyumba binafsi ya makumbusho. Itakuwa kwa ajili yangu, familia yangu na marafiki zangu wa karibu," nyota huyo wa kimataifa wa Uholanzi aliwaambia Bild.
The Dutchman is determined to ensure than 'nothing is lost' from his time at some of Europe's top clubs
Mholanzi huyu anahakikisha kuwa kila alichoshinda hakisahauliki 
Robben won a La Liga title and the Spanish Super Cup during his time at the mighty Real Madrid
Robben alishinda La Liga na kombe la ligi la Hispania wakati huo akicheza Real Madrid

"Nina vitu vingi-zikiwemo jezi za wachezaji wengine. Nimetunza mpira kutoka fainali ya ligi ya mabingwa 2013 (Bayern ikiifunga Borussia Dortmund 2-1 na Robben alifunga goli la ushindi dakika za majeruhi).
"Kuna viatu nilivyoshinda katika michuano ya ubingwa ulaya na kombe la dunia. Wazo ni kuvikusanya pamoja ili kisipotee hata kimoja".

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video