Thursday, July 31, 2014

Kocha Roberto Martinez wa Everton amekamilisha usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Ubelgiji, Romelu Lukaku aliyeichezea klabu hiyo  kwa mkopo msimu uliopita.

Dili hilo limeigharimu klabu hiyo ya Goodison Park paundi milioni 28.


Lukaku alijiunga na Chelsea misimu mitatu iliyopita lakini ameichezea mechi 10 za ligi kuu kabla ya kutolewa kwa mkopo West Brom na baadaye Everton alikohamia jumla.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video