- Tabasamu kubwa: Mshambuliaji wa Ubelgiji Dries Mertens akishangilia bao la ushindi usiku huu.
- Dries Mertens aliifungia Ubelgiji bao la pili na la ushindi.
- Marouane Fellaini aliisawazishia Ubelgiji bao kwa njia ya kichwa.
- Marouane Fellaini aliingia akitoka benchi kwa lengo la kuwasaidia Ubelgiji kusawazisha goli.
- Algeria walikuwa wa kwanza kuandika bao kupitia kwa Sofiane Feghouli aliyefunga kwa njia ya penati.
- Eden Hazard alianza katika kikosi cha kwanza wakati kinda wa Manchester United alikaa benchi.
Home
»
»Unlabelled
» TIMU ZA AFRIKA ZAZIDI KUWA UROJO KOMBE LA DUNIA, ALGERIA NAYO YAKUNG`UTWA 2-1 NA UBELGIJI
Tuesday, June 17, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment