Tuesday, June 17, 2014


Spot on: Santi Cazorla scores the winning goal for Arsenal in their FA Cup semi-final against Wigan
Santi Cazorla aliifungia Asernal bao la ushindi katika mchezo wa nusu fainali wa FA dhidi ya Wigan.

No laughing matter: Santi Cazorla says he will assess his Arsenal future after the World Cup
Santi Cazorla amesema atapima upepo wake katika klabu ya Asernal baada ya kombe la dunia.
Midfield maestro: Santi Cazorla evades a Sergio Busquets challenge during Spain training last week
 Santi Cazorla akichuana na  Sergio Busquets wakati wa mazoezi ya Hispania wiki iliyopita.

SANTI Cazorla amesema ataeleza hatima yake ya baadaye katika klabu ya Asernal mara kombe la dunia litakapomalizika.
 Kiungo huyo wa Hispania amekuwa akihusishwa na kuhama Emirates na anasemekana kuwindwa na mabingwa wa La Liga na wanafainali wa UEFA, Atletico Madrid.
Carzola ambaye kwasasa yupo na kikosi cha Hispania kinachojiandaa na mchezo wa jumatano dhidi ya Chile, alijiunga na Asernal kutokea klabu ya Malaga kwa ada ya uhamisho ya paundi milioni 16.5 mwaka 2012.
"Kombe la dunia litakapomalizika, nitaanza kuwaza mazingira yangu," alisema Carzola alipokuwa anaongea na gazeti za Hispania la AS.
"Sihitaji kuwaza kwa sasa na nimemwambia wakala wangu asiniambie chochote kama kuna ofa yoyote inakuja".

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video