Thursday, June 12, 2014


Room with a view: Portugal's Joao Moutinho posted a picture of his personalised hotel room to Twitter
First team candidate: Moutinho (left) will be hoping to start for Portugal in their World Cup opener vs Germany
World's best: Portugal's Cristiano Ronaldo (right) played 66 minutes in their 5-1 win vs Republic of Ireland
Ureno waliwasili katika kambi yao na kukuta wameshaandaliwa vyumba vya kulala vikiwa na majina ya wachezaji na kikosi kwenye vitanda vyao, pia kumewekwa picha zao ukutani.
Kiungo Joao Moutinho na beki Joao Pereira wote kwa pamoja wameposti picha za vyumba vyao kwenye mtandao wa Twita na Instagram wakifurahia kabla ya kucheza mchezo wao wa ufunguzi wa kundi D dhidi ya Ujerumani mjini Salvador juni 16.
 Licha ya wasiwasi uliotanda juu ya Ronaldo kukivaa kikosi cha Joachim Low baada ya kusumbuliwa na majeruhi ya mguu aliyoipata kwenye mechi za UEFA, nyota huyo mwenye miaka 29 ameonekana kuimarika hasa baada ya kucheza kwa dakika 66 kwenye ushindi wa mabao 5-1 dhidi ya Ireland siku ya jumatano.
Baada ya mechi ya Ujerumani, vijana wa Paulo Bento watakabiliana na Marekani juni 22 mjini Manaus, kabla ya kucheza mechi ya mwisho ya makundi mjini Brasilia dhidi ya Ghana juni 26.
Hoteli ya Argentina kwenye kombe la dunia ilipangwa mapema wiki hii, huku ikionesha wachezaji gani watakuwa wanalala chumba kimoja wakati wote wa mashindano.
 Mpangilio unaonesha kuwa washambuliaji Messi na Aguero watakuwa wanalala chumba kimoja.

Feeling at home: Joao Pereira also snapped his hotel room which includes pictures of him playing (right)
Roommates: The list of Argentina's World Cup squad who will be sharing a room in Brazil

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video