Mwanzo mzuri: Teofilo Gutierrez akishangilia bao la pili la
Colombia
Pablo
Armero, Teofilo Gutierrez na James Rodriguez yametosha kuwapa pointi tatu
muhimu katika kundi lao la tatu.
Michuano ya mwaka huu, timu za Marekani
kusini zimeanza vizuri. Brazil walishinda, Chile walishinda, na sasa Uruguay
wanasubiriwa.
Mechi nyingine ya kundi hilo inayokuja baadaye ni baina ya Ivory Coast
na Japan.
Pia usiku wa manane England `Simba watatu` watachuana na Italia.
0 comments:
Post a Comment