Friday, May 9, 2014



 Balotelli not for sale, insists AC Milan striker's agent
WAKALA wa Mario Balotelli ameweka wazi kuwa amepokea taarifa kutoka kwa mkurugenzi wa AC Milan, Adriano Galliani kuwa nyota huyo hatauzwa majira ya kiangazi mwaka huu.
Mshambuliaji huyo raia wa Italia ndiye mfungaji bora wa klabu hiyo msimu huu akiwa ametia kambani mabao 14 katika mechi zame 28 za Seria A alizocheza.
Lakini hatima yake haijulikani hasa baada ya kupondwa sana kufuatia kufanya vibaya katika mechi waliyofungwa na Roma, huku nyotq huyo akimuwakia vikali kocha wake Clarence Seedorf kwa kumtoa uwanja, pia aliwakemea vilai watangazaji wa Sky sports waliokuwa wanamponda baada ya mechi.
“(Milan) wameniambia Mario Balotelli hauzwi japokuwa tutasikia tetesi nyingi,” wakala huyo amewaeleza Calciomercato.com.
“Adriano Galliani aliniambia hauzwi na hili limenipa furaha kubwa”.
‘Kutoka muda huu mpaka agosti 31 tutasikia tetesi nyingi kuhusu hatima yake, lakini hilo sio tatizo”.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video