Friday, May 9, 2014



 http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/0/0f/Belgium_National_Team_vs_USA_2013.jpg
UBELGIJI inatarajia kujipima nguvu dhidi ya timu ya Taifa ya Marekani kujiandaa na fainali za FIFA za kombe la dunia zinazoanza kutimua vumbi juni 12 mpaka julai 13 mwaka huu.
Mechi hiyo itachezwa karibu na mji wa Sao Paulo.
“Itakuwa kama mechi ya mazoezi kwa kila timu”, chama cha soka nchini Ubelgiji kimesema leo ijumaa.
Marekani waliopo kundi G na timu za Ureno, Ujerumani  na Ghana.
Wataanza kampeni za kombe la dunia juni 16 mwaka huu dhidi ya wawakilishi wa Afrika, timu ya Taifa ya Ghana.
Ubelgiji wataanza kampeni yao juni 17 dhidi ya wawakilishi wengine wa Afrika, timu ya Taifa ya Algeria, baadaye watacheza na Russia na Jamhuri ya Korea katika mechi za kundi H.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video