Wednesday, May 7, 2014

PEP Guardiola  anapigana vita ya ndani kwa ndani katika klabu yake ya Bayern Munich baada ya kazi yake kuingia dosari msimu huu katika michuano ya UEFA, huku akihusishwa kuelekea ligi kuu soka nchini England.
Mhispani huyo alifika ujerumani mwanzoni mwa msimu huu na tayari ameshashinda taji la Bundesliga, UEFA Super Cup na kombe la  FIFA la klabu bingwa ya Dunia.
Lakini kocha huyo wa zamani wa Barcelona anapigana vita ya kukishawishi kikosi chake kiendeleza mafanikio waliyoyapa siku za karibuni.
Under pressure: Pep Guardiola is in danger of losing the dressing room at Bayern Munich
Presha juu: Pep Guardiola yupo hatarini kupoteza umoja katika vyumba vya kubadilishia nguo katika klabu ya  Bayern Munich

 Licha ya kushinda makombe matatu msimu huu, kipigo cha aibu walichokipata Bayern kutoka kwa Real Madrid hatua ya nusu fainali ya UEFA kimeibua maswali juu ya  hatima yake ya baadaye.
Kuna mitazamo kuwa timu imeshuka kiwango chini ya Guardiola, na hii inahusishwa na kipigo kutoka kwa Carlo Ancelotti.

Mbaya sana kuna kundi la wachezaji wanaanza kuunga mkono mitazamo hii , hivyo Guardiola kuwa hatarini kupoteza umoja wa wanandinga wake.

Kuna hisia miongoni mwa watu kuwa umoja mkubwa wa timu ilioachwa na Louis van Gaal na Jupp Heynckes umeanza kupotea chini ya Guardiola.

Gwiji wa soka wa Bayern Franz Beckenbauer wiki iliyopita alionesha kuumizwa sana na kiwango cha timu hiyo kufuatia kipigo walichoambulia kutoka kwa Real.
Crushed: Bayern were thrashed by Real Madrid in the Champions League semi-finals this season

Destroyers: Cristiano Ronaldo and Gareth Bale were the architects of Bayern's demise


Champions: Guardiola led Bayern to the Bundesliga title in his first season in charge

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video