MAELFU ya mashabiki wa Asernal wamefurika katika mitaa ya London kaskazini kushangalia ubingwa wa FA waliotwaa jana kwa kuwafunga Hull City mabao 3-2 baada ya kukaa miaka 9 bila taji.
Wachezaji walikuwa katika basi la wazi lililoondoka Emirates majira 11:00 asubuhi na kuzunguka mjini Islington, mitaa ya juu ya mji wa London na kurudi uwanjani.
Ukame umekwisha! Wachezaji wa Arsenal wakishangilia baada ya kumaliza ukame wao wa kukaa bila kombe
Pati! Wachezaji wa Arsenal akiwemo Aaron Ramsey (kulia), wakiwa wamebeba kombe lao mbele ya mashabiki
Mashabii wakiwapungia mikono wachezaji wao wakati wanapita na basi
Mfungaji wa goli, Laurent Koscielny akiwa amebeba kombe leo jumapili
Walianzia katika uwanja wa Emirates na kuzunguka mji wa London
Maelfu ya mashabiki wa Asernal walifurika katika mitaa ya Islington kushangilia ubingwa
Mashabiki waliofurika
Arsene Wenger akinyanyua kombe lililomfanya aamue kubakia Asernal
0 comments:
Post a Comment