Huyu
jamaa ni Yanga damu, lakini sasa hatamshangilia tena Domayo na Kavumbagu.
Mashabiki
wa Yanga sc watakosa kuziona pasi za kiungo wao injini, Frank Domayo `Chumvi` baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili
katika klabu ya Azam fc.
Domayo
alisaini mkataba huo jijini Mbeya siku
ya jana ambako yuko na timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa stars.
Naye
Kavumbagu alisaini mkataba wa mwaka mmoja kuichezea Azam fc juzi.
0 comments:
Post a Comment