Saturday, May 10, 2014

JOSE Mourinho anataka kuwaongezea mikataba wakongwe watatu wa Chelsea John Terry, Frank Lampard na Ashley Cole .

‘Mechi dhidi ya Nowrich ilikuwa ya mwisho kwa Cole, Lampard na Terry? sidhani,’ alisema Mourinho.
Katika ripoti anayotarajia kumpatia mmiliki wa Chelsea Roman Abramovich, jumatatu ijayo, Mourinho anashauri kipa wa Atletico Madrid anayecheza kwa mkopo Chelsea Thibaut Courtois, apewe mkataba wa kudumu.
Blues brothers: Jose Mourinho wants Ashley Cole, Frank Lampard and John Terry to stay at Chelsea

Uncertain future: Cole, Lampard and Terry are all out of contract this summer
Kuhusu hatima ya wachezaji wawili raia wa uholanzi, Courtois na Lukaku, Mourinho aliendelea: "Sijafanya maamuzi juu ya Courtois kuhusu msimu ujao? ndiyo-lakini mimi sio klabu.
Centre of attention: Mourinho answers questions during his pre-match press conference
Ryan Bertrand anaweza kuondoka Chelsea majira ya kiangazi mwaka huu baada ya mazungumzo na kocha Mourinho.
Beki huyo wa kushoto mwenye miaka 24, anataka namba ya kudumu. ‘Kuendelea Chelsea msimu ujao na kukaa benchi, sitaki," alisema Bertrand.
On his way? Ryan Bertrand could leave Chelsea in search of first team football

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video