Friday, May 2, 2014



Everton boss Martinez wants rule change for loan deals
KOCHA wa Everton, Roberto Martinez ameomba sheria ya wachezaji wa mkopo ifanyiwe marekebisho na kuwaruhusu kucheza dhidi ya klabu walizotoka.

Martinez ameweza kuwatumia vizuri wachezaji wake wa mkopo akiwa Goodison Park, Romelu Lukaku, Gerard Deulofeu na Gareth Barry na wote wamekuwa katika kiwango cha kuvutia katika klabu hiyo ya Merseyside.

Kocha huyo atamkosa Barry jamamosi kwenye mchezo dhidi ya Manchester City kwasababu sheria ya mkopo haimruhusu kucheza na klabu yake inayommiliki.

Kocha huyo wa zamani wa Wigan Athletic amesema imefika wakati watu wa sheria za ligi kuu nchini England waliangalie hilo, huku akionesha mfano jinsi Atletico Madrid walivyomtumia  Thibaut Courtois dhidi ya mwajiri wake wa kudumu, klabu ya Chelsea kwenye mechi za nusu fainali za UEFA.

“Unapofikia makubaliano ya kumtoa mchezaji kwa mkopo, aruhusiwe kucheza”. Martinez alisema.

“Sioni kama ni haki kumnyima mchezaji haki ya kucheza na klabu yake aliyomwajiri”.

“Ni haki kufanya kama ilivyo katika mashindano ya ulaya, kumuona mchezaji akicheza na timu yake iliyomwajiri ni jambo zuri na nadhani itakuwa jambo la maana na baada ya msimu ataangaliwa kiwango chake”.

“Sheria ya mkopo inahitaji mabadiliko ili kuendana na soka la kisasa. Ni mjadala mzuri na ni jambo la kuangaliwa kwa ndani”.

“Hatupaswi kuwa na sheria mbili tofauti katika mashindano. Nadhani sheria za ligi ya ndani ziende sambamba na sheria michuano ya ulaya”.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video