Saturday, May 10, 2014

 KOCHA wa zamani wa Manchester United, David Moyes ameoenaka tena mtaani ijumaa usiku baada ya kutembelea Glasgow kwa ajili ya kunyoa nywele.
 Kocha huyo wa zamani wa mashetani wekundu alitimuliwa kazi mwezi uliopita na ameenda kunyoa nywele katika saluni maarufu ya  five-star Taylor Ferguson katika mji wa  Scottish.
Moyes hakufanya vizuri katika msimu wake wa majanga Old Trafford , lakini leo aliweza kupiga picha na mmiliki wa saluni hiyo.
All smiles: David Moyes poses with salon owner Taylor Ferguson after going for a trim in Glasgow
Tough times: Moyes didn't do much smiling during his disastrous spell as United boss but was all smiles on Friday
Tough times: Moyes didn't do much smiling during his disastrous spell as United boss but was all smiles on Friday
Ferguson ameandika katika ukurasa wake wa Facebook kuhusu kutembelewa na Moyes na kusema: " ni vizuri kumkaribisha  katika saluni, David Moyes leo hii"
  Ryan Giggs aliteuliwa kuwa kocha mkuu wa muda baada ya Moyes kuondoka, lakini United wanatarajia kumtangaza Mholanzi, Louis van Gaal kuwa kocha mkuu mpya.
In charge: Ryan Giggs was named interim manager at Old Trafford following Moyes' departure

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video