Sunday, May 11, 2014



 http://static.goal.com/403000/403062_heroa.jpg
JURGEN Klopp amesema Marco Reus atakuwa mfungaji bora msimu ujao na kuziba pengo la Robert Lewandowski anayejiandaa kuondoka Borussia Dortmund majira ya kiangazi mwaka huu.
Mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Poland alimaliza akiwa mfungaji bora wa Bundesliga kwa mabao 20 na anajiandaa kuondoka katika klabu yake kujiunga na wapinzani wakubwa wa Dortmund, Bayern Munich.
Klopp hana wasiwasi wa kumpoteza mshambuliaji huyo mwenye miaka 25 na amesisitiza kuwa Reus aliyefunga mabao 16 katika mechi za ligi atachukua majukumu ya Mpoland huyo.
“Msimu ujao ni muda wa Reus kumaliza msimu wa Bundesliga akiwa mfungaji bora,” Klopp aliwaambia waandishi wa habari baada ya ushindi wa mabao 4-0 jana jumamosi.
Reus alipata majeruhi jana na nafasi yake kuchukuliwa na Pierre-Americk Aubameyang, lakini klabu kupitia tovuti yake imesema kuwa nyota huyo mwenye miaka 24 hayuko hatarini kukosa mechi ya fainali ya DFB-Pokal dhidi ya Bayern Munich jumamosi ijayo.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video