MCHEZAJI na kocha wa zamani wa Simba SC, Jamhuri
Mussa Kihwelo ‘Julio’ amechukua na kurudisha fomu ya kugombea Umakamu wa rais
wa klabu hiyo- lakini pia akasema yeye bado ni kocha halali wa timu hiyo.
Julio amechukua fomu ya kuwania umakamu wa Rais kwenye uchaguzi wa Juni 29, mwaka huu na akasema ataushitaki uongozi unaomaliza muda wake chini ya Mwenyekiti Alhaj Ismail Aden Rage kwa kumdhulumu haki yake.
Akizungumza leo Julio alisema anaudai uongozi unaomaliza muda wake milionI 24 kama fedha za mshahara. Aliema tayari amekwenda mahakamani kuwasilisha malalamiko yake kuhusu fedha hizo.
Julio amechukua fomu ya kuwania umakamu wa Rais kwenye uchaguzi wa Juni 29, mwaka huu na akasema ataushitaki uongozi unaomaliza muda wake chini ya Mwenyekiti Alhaj Ismail Aden Rage kwa kumdhulumu haki yake.
Akizungumza leo Julio alisema anaudai uongozi unaomaliza muda wake milionI 24 kama fedha za mshahara. Aliema tayari amekwenda mahakamani kuwasilisha malalamiko yake kuhusu fedha hizo.
Julio kikao kilichowatoa madarakani kilikaa chini
ya makamu mwenyekiti Joseph Itang’are kilikuwa batili.
“Mimi bado ni kocha wa Simba kwa kuwa uongozi uliompindua Rage kikao chake kilikuwa sio haliali na mimi bado ni kocha halali wa timu hiyo.
Alisema Rage alirudishwa madarakani na rais wa TFF Jamal Malinzi kwa kusema kikao hakikuwa halali sasa na sisi pia ni makocha halali.
“Mimi bado ni kocha wa Simba kwa kuwa uongozi uliompindua Rage kikao chake kilikuwa sio haliali na mimi bado ni kocha halali wa timu hiyo.
Alisema Rage alirudishwa madarakani na rais wa TFF Jamal Malinzi kwa kusema kikao hakikuwa halali sasa na sisi pia ni makocha halali.
Chanzo: Bin zubeiry
0 comments:
Post a Comment