Monday, May 5, 2014



 
ZLATAN Ibrahimovic amependekeza kuwa Paris Saint-Germain haina haja ya kusajili nyota mwingine wakati yeye yupo katika klabu kwasasa.
PSG wanahusishwa na mpango wa kumsajili nyota wa Barcelona au Cristiano Ronaldo wa Real Madrid, lakini Msweden huyo alipoulizwa kuhusu hilo alijibu haraka kwanini klabu isajili nyota mwingine wakati yeye yupo.
“Kwanini Messi au Ronaldo wakati una Zlatan?” alijibu alipoulizwa  katika shoo ya RMC

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video