"Haiwezekani Azam kuchukua wachezaji wa yanga bali
sisi ndo inatakiwa kuchukua wachezaji wa Azam, Muhimu kuwe na mipango maalum
kwa wanachama kuchangia timu kwa ajili ya usajili tukifanya hivyo timu itakuwa na hela nyingi hakuna
atakayetusumbua Yanga ina mashabiki wengi sana ambapo tukiunganisha nguvu zetu
tutapiga hatua kubwa sana. . nasema pia tuache kumzungumzia Domayo
tunampandisha chati imeshatokea tuangalie mambo mengine kwa manufaa ya klabu
yetu" Alisema Davis Mosha.
0 comments:
Post a Comment