Kocha Paolo Di Canio alikuwa anashangilia bao mwaka jana kwa staili ya kuteleza wakati Sunderland ilipoifunga Newcastle mabao 3-0 katika mchezo wa ligi kuu nchini England.
Kocha Jose Mourinho mwaka 2012 akiwa na Real Madrid baada ya kuifunga Manchester City Bernabeu UEFA alishangilia kwa staili ya kuteleza kama wachezaji wanavyofanya.
Nani mkali wa kushangilia kati ya makocha hawa?
Weka maoni yako chini.
0 comments:
Post a Comment