Friday, May 9, 2014



 Rooney & Jones will be fit for England's World Cup campaign, says Giggs
KOCHA wa muda wa Manchester United, Ryag Giggs amethibitisha kuwa Wayne Rooney na Phil Jones watakuwa fiti kuitumikia England fainali za kombe la dunia mwaka huu nchini Brazil.
Jones aliumia katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Hull City Old Trafford jumanne ya wiki hii, wakati Rooney amekosa mechi mbili zilizopita za ligi kuu soka nchini England  na yuko hatarini kukosa mechi ya mwisho dhidi ya Southampton.
“Majeruhi ya Phil sio kubwa sana . Hatakuwepo mechi ya jumapili, lakini atakuwa sawa kwa fainali za kombe la dunia.” Alisema Giggs mwenye miaka 40.
Giggs alieleza kuwa Rooney amefanya mazoezi wiki hii, lakini alikiri kuwa yupo mashakani kucheza dhidi ya vijana wa Mauricio Pochettino.
Kikosi cha wachezaji 23 cha timu ya taifa ya taifa ya England kitakachoshiriki kombe la dunia kitatajwa jumatatu na kocha mkuu Roy Hodgson kabla kwenda Ureno kuweka kambi.
England watarejea Wembley mei 30 kujipima ubavu na Peru kabla ya kucheza dhidi ya Ecuador na Honduras.

Vijana wa Hodgson wapo kundi D na wataanza mechi ya ufunguzi juni 14 mwaka  huu dhidi ya Italia.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video