Monday, May 12, 2014

 RYAN Giggs anaweza kupata kazi ya kudumu Manchester United baada ya kocha anayetarajia kujiunga na Mashetani wekundu, Louis Van Gaal kuweka wazi kuwa huwa anapenda kumuacha kocha mmoja aliyekuwa katika kikosi chake kipya kabla ya kujiunga na kuanza kazi rasmi.
Giggs alishuhudia timu yake ikimaliza mechi ya mwisho kwa sare ya 1-1 na Southampton jana.
Sasa kinachosubiriwa ni kuona nini Van Gaal ataamua kuhusu hatima ya Giggs mara atakapothibitishwa kuwa kocha wa United baadaye wiki hii.
Lakini kutokana na falsafa ya Mholanzi huyo kubakisha moja ya makocha waliokuwepo imetoa matumaini kwa Giggs kupata ajira ya kudumu.
Big job: Louis van Gaal has plenty of work to do when he takes over at Manchester United
Kwasasa Van Gaal ni kocha wa timu ya taifa ya Uholanzi na sasa anaiandaa timu yake kwa ajili ya mechi ya kirafiki wikiendi hii dhidi ya Ecuador

Class of 92: Giggs sits on the bench at Southampton with assistants, Nicky Butt, Paul Scholes and Phil Neville
Giggs akiwa benchi kwenye mechi dhidi ya Southampton, wengine ni wasaidizi wake Nicky Butt, Paul Scholes na Phil Neville

All smiles: Ryan Giggs could remain at the club next season

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video