Saturday, May 17, 2014


Homeward bound: Brazil defender David Luiz is one of 18 Chelsea players in line to play at the World Cup
Ardhi ya nyumbani: Beki wa Brazil ,  David Luiz ni miongoni mwa wachezaji  18 wa Chelsea wanaotarajia kushiriki kombe la dunia mwaka huu na nchi zao.

KLABU ya Chelsea ndio timu pekee ambayo wachezaji wake wengi wanaenda kushiriki fainal za kombe la dunia kuanzi mwezi ujao nchini Brazil.

Wachezaji 18 wa Chelsea wanatarajia kuzichezea nchi zao katika fainali hizo kubwa za soka duniani.

Ukiangalia vikosi vya awali vya mataifa mbalimbali na vikosi vya mwisho vya watu 23 , wachezaji wengi wa Chelsea wamechaguliwa, huku wakifuatiwa na Manchester United ambayo wachezaji wake 16 wamechaguliwa licha ya kuwa na msimu mbovu.

Kwa wenyeji Brazil, kocha Luiz Felipe Scolari amewaita Oscar, Willian, Ramires na  David Luiz kuichezea nchi yao katika ardhi ya nyumbani.
Still going strong: Chelsea midfielder Frank Lampard (right) has been included in England's 23-man squad
Bado ana nguvu: Kiungo wa Chelsea, Frank Lampard (kulia) ametajwa katika kikosi cha wachezaji 23 wa timu ya taifa ya England

In the frame: Fernando Torres is hoping to be chosen in Spain's final list after a disappointing season for Jose Mourinho's side
Kama kawaida: Fernando Torres anatarajiwa kutajwa katika orodha ya mwisho ya kikosi ch Hispania licha ya kutokuwa na msimu mzuri chini ya Mourinho.


KLABU AMBAZO WACHEZAJI WAKE WENGIN WANAKWENDA KOMBE LA DUNIA

1. Chelsea (18)
2. Manchester United, Bayern Munich (16)
3. Napoli (14)
4. Barcelona, Real Madrid, Manchester City (13)
5. Juventus, Arsenal, Liverpool (12)
6. Atletico Madrid (11)
7. Porto, Inter Milan, AC Milan, Zenit (10)
8. Borussia Dortmund, Paris Saint-Germain (8)
9. Southampton, Schalke, Roma (7)

The Blues pia wachezaji wake wawili wa England, Frank Lampard na Gary Cahill, Wawili wa Hispania,  Fernando Torres na Cesar Azpilicueta na nyota wa Ubelgiji,  Eden Hazard, Romelu Lukaku na Thiabaut Courtois wameitwa katika vikosi vya nchi zao.

Wachezaji wengine waliobaki watacheza kombe la dunia na nchi zao. Samuel Eto`o ataichezea Camroon,  Ujerumani, Andre Schurrle, Nigeria,  John Obi Mikel, Victor Moses na Kenneth Omeuro, Ghana, Christian Atsu na Uholanzi,  Patrick van Aanholt.

Licha ya Man United kuvurunda zaidi msimu huu, lakini haijazuia wachezaji wake kuitwa vikosi vya timu za taifa.

Wayne Rooney, Javier Hernandez na Robin van Persie watacheza fainali za kombe la dunia, japokuwa wachezaji wawili wa klabu hiyo Tom Cleverley na Michael Carrick wote wapo katika orodha ya wachezaji wa akiba.


On the plane: Manchester United striker Wayne Rooney is battling to be fully fit for Brazil

Back in action: Red Devils forward Robin van Persie looks set to play for the club's next manager, Louis van Gaal, on Holland duty
Amerudi kazini: Mshambuliaji wa mashetani wekundu, Robin van Persie anatarajia kuichezea Uholanzi chini ya kocha  mtarajiwa wa Man United, Louis van Gaal, ambaye kwa sasa ana majukumu na timu ya taifa ya Uholanzi.

Man United imetoa wachezaji idadi sawa na mabingwa wa Bundesliga, Bayern Munich ambao kwa asimilia kubwa wanaunda kikosi cha Ujerumani.

Manuel Neuer, Jerome Boateng, Bastian Schweinsteiger, Toni Kross, Thomas Muller, Mario Gotze na  Philipp Lahm wote wameitwa katika kikosi cha awali cha Joachim Low  ambapo atachuja kupata kikosi cha mwisho cha wachezaji  23.

Miamba ya Serie A , Napoli ni klabu ya tatu ambayo wachezaji wake wengi watashiriki kombe la dunia. Wanandinga wake 14 wameitwa katika vikosi vya awali vya mataifa tofauti wakiwemo Valon Behrami, Blerim Dzemaili na Gokhan Inler

Klabu hiyo ya Italia ina wachezaji wengi kuliko miamba ya Hispania, Real Madrid na FC Barcelona, ambapo wote wana wachezaji 13 wakiwemo Cristiano Ronaldo na Lionel Messi.

Idadi hiyo ni sawa na wachezaji wa mabingwa wa sasa wa Ligi kuu soka nchini England, Manchester City wakiwemo wachezaji watatu wa Argentina,  Sergio Aguero, Pablo Zabaleta na  Martin Demichelis.

Arsenal na Liverpool wanaweza kuwa na wachezaji 12 nchini Brazil, ingawa Lucas Leiva anaweza kubadili idadi baada ya kuongezwa katika kikosi cha akiba cha  Scolar mapema wiki hii.
Midfield general: Germany's Bastian Schweinsteiger is one of 16 Bayern Munich players to have been called up

Star man: Portugal's Cristiano Ronaldo is one of 13 Real Madrid players included in World Cup squads
Threat: Barcelona's Lionel Messi will lead the line for Argentina back in South America this summer
Tishio: Nyota wa Barcelona,  Lionel Messi ataiongoza Argentina katika fainali za kombe la dunia mwaka huu nchini Brazil.

Mabingwa wa Italia,  Juventus,  wachezaji wake 12 wametajwa katika vikosi vya timu za taifa wiki hii na wanaweza kujiona hawana bahati baada ya mshambuliaji wao hatari, Carlos Tevez kutemwa na kocha  Alejandro Sabella.

Vinara wa La Liga na wanafainali wa UEFA, Atletico Madrid wanafuatia kwa wachezaji wake 11  kuitwa wakiwemo watatu wa Hispania Diego Costa, Koke na Juanfran.

Klabu nyingeni ambazo wachezaji wake wengi wameitwa timu za taifa ni Porto, Inter Milan, AC Milan, Zenit St Petersburg (zote wachezaji), Borussia Dortmund (nane) and Southampton (saba).
Brazil bound: Southampton's Maya Yoshida (right) and Liverpool's Luis Suarez (left) are both set to play in this summer's World Cup
Ngoma za Brazil: Nyota wa Southampton, Maya Yoshida (kulia) na wa Liverpool,  Luis Suarez (kushoto) wote watacheza fainali za kombe la dunia majira ya kiangazi mwaka huu.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video