Tuesday, May 13, 2014



Wanakata kepi yao ya ubingwa: Sheikh Mohammed akisherehekea ubingwa wa Man City kiaina yake.

WAKATI wachezaji wa Manchester City walishereheka kwa mbwembwe taji la ubingwa wa Ligi Kuu ya England, wamiliki wa timu hiyo walifanya sherehe ndogo tulivu kufurahia ubingwa wa pili wa ligi hiyo ndani ya misimu mitatu. 
Wachezaji waliangusha pati Uwanja wa Etihad na baadaye waakenda kujirusha Town Hall na  nyota wa Oasis, Noel na Liam Gallagher na miga gita wa Smiths, Johnny Marr.
Lakini Sheikh Mansour alisherehekea ubingwa huo wa City kwa kukata keki maalum iliyotengenezwa kitaalamu katika muundo wa Uwanja na taji hilo la ubingwa wa Ligi Kuu.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video