Taarifa kutoka makao makuu ya Yanga ambazo zimeufikia mtandao huu ni
kwamba beki wa kimataifa wa Rwanda Mbuyu anasaini mkataba mpya wa
kuendelea kuichezea klabu hiyo baada ya mkataba wake uliopo kumalizika.
Twitte ambaye alikuwa akiwania na klabu ya Azam FC, amesaini mkataba
wa mwaka mmoja wa kuendelea kuvaa jezi za njano na kijani msimu ujao.
Taarifa zaidi tutakuletea hapo baadae.
0 comments:
Post a Comment