Bondia Floyd Mayweather akipambana ulingoni na Marcos Maidana alfajiri ya
kuamkia leo katika ukumbi wa MGM Grand, Las Vegas Marekani.. Hili lilikuwa pambano la
uzito wa Welter. Mayweather alishinda kwa pointi, lakini alitolewa jasho
na mpinzani wake huyo
Maidana akimrushia ndonga ya ukweli Mayweagther
Hii ni mieleka? Maidana akimchezea rafu Mayweather
Mayweather akisherehekea na mataji yake baada ya pambano
0 comments:
Post a Comment