BONANZA LA CASTLE LAGER PERFECT SIX LAFANYIKA LEADERS
Mchezaji wa Timu ya Clouds Fm, Maulid Kikucha (chini)i akimiliki mpira wakati wa Bonanza la Castle Lager Perfect Six iliyofanyika katika Viwanja vya Leaders Dar es Salaam leo.Mchezaji wa Timu ya PSI, Said Athman akimenyana na na mchezaji wa Clouds Bakari Wasuri wakati wa Bonanza la Castle Lager Perfect Six iliyofanyika katika Viwanja vya Leardas Dar es Salaam leo.
0 comments:
Post a Comment