Friday, May 16, 2014


Head-to-head: Toby Alderweireld celebrates for Atletico Madrid
On the ball: Lionel Messi
Head-to-head: Barca na Atletico Madrid watakutana kesho jumamosi kwenye uwanja wa  Nou Camp 

Leaving: Carles Puyol held a farewell press conference on Thursday prior to his Barcelona departure

LA LIGA: PAZIA KUFUNGWA KESHO

Siku ya mwisho kesho wapenzi wa soka watashuhudia Barcelona na Atletico wakichuana kwa mara ya tatu katika historia yao.

Barcelona wataweza kushinda taji kutokana na rekodi nzuri ya `head-to-head`  kama watawafunga Atletico Madrid.

Sare itatoshwa kuwapa Atletico ubingwa kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 18.

HEAD-TO-HEAD
21 August: Atletico 1-1 Barcelona
(Spanish Super Cup)

28 August: Barcelona 0-0 Atletico
(Spanish Super Cup)

11 January: Atletico 0-0 Barcelona
(La Liga)

1 April: Barcelona 1-1 Atletico
(Champions League)

9 April: Atletico 1-0 Barcelona
(Champions League) 

Kama Atletico Madrid watashinda taji kesho hakuna atakayelala ndani ya saa 48 ndani ya mji mkuu wa Hispania.


Mshabiki 447 ndio waliopata tiketi za kushabikia timu ya Atletico hapo kesho, lakini kama watashinda, moto utawashwa tena mapema jumapili nyumbani kwao Madrid.

 Timu hizi mbili zitashangilia ubingwa kwa staili tofauti kabisa. Wakatalunya watamfuta kazi Kocha mkuu, Tata Maryino bila kujali  kitakachotokea kesho jumamosi.

Mlinda mlango Victor Valdes atajiunga na Monaco. Dani Alves  atamfuata nchini Ufaransa kwa kujiunga na PSG. Beki Carles Puyol atajiunga na kocha mpya anayekuja, Luis Enrique kwenye benchi la ufundi.

Alex Song, Javier Mascherano, Pedro na Alexis Sanchez wote wanauzwa na wanaweza kuondoka kama ofa nzuri zitapatikana, huku Barcelona wakijiandaa kumsajili beki wa Chelsea, David Luiz.

Barca wanaweza kuwashawishi Chelsea kwa kuwapatia Alex Song na Alexis ili kuinasa saini ya Luiz.
Support: Atletico Madrid fans will celebrate for 48 hours should they win their first La Liga title in 18 years
Mashabiki wa Atletico Madrid watashangilia ubingwa wa La liga kwa saa 48 kama watatwaa kwa mara ya kwanza baada ya miaka 18

Battle: Lionel Messi vies for the ball with Filipe Luis in their Champions League clash last month


Stripes: Diego Costa, who is poised to join Chelsea, takes on Barcelona's Gerard Pique earlier this season

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video