Thursday, May 15, 2014

MTANZANIA Adam Nditi jana alicheza kwa dakika zote 90 wakati Chelsea ikiichapa Manchester United mabao 2-1 na kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Vijana chini ya umri wa miaka 21 England Uwanja wa Old Trafford. 
Nditi na mchezaji mwenake wa Chelsea, Swift walionyeshwa kadi za njano katika mcheo huo uliohudhuriwa na kocha wa muda wa United, Ryan Giggs na msaidizi wake, Paul Scholes sawa na Pearson na Ekangamene kwa upande wa Mashetani Wekundu.

Washindi: Adam Nditi mbele ya bango kulia akiwa na wachezaji wa Chelsea wakisherehekea taji lao la U-21 la ubingwa wa Ligi Kuu England baada ya kuifunga Manchester United mabao 2-1 katika fainali jana Uwanja wa Old Trafford
Dejection: The Man United players stand and watch as Chelsea lift the trophy
Huruma: Wachezaji wa Man United wakiwa wamejiinamia baada ya Chelsea kufanya yao Old Trafford
Man of the moment: Lewis Baker wheels away to celebrates putting Chelsea in the lead
Kiboko yao: Lewis Baker akisherehekea boa la ushindi lililoipa ubingwa Chelsea jana
Watching on: Paul Scholes (left) and Ryan Giggs were in attendance at Old Trafford
Walimshuhudia Nditi: Paul Scholes (kushoto) na Ryan Giggs walikuwepo Uwanja wa Old Trafford jana
Mtanzania Ulaya: Kiungo Adam Nditi wa Chelsea kushoto akimkabili Varela wa Man United na kulia na mchezaji mwenzake, Nathan Ake.
Katika mechi hiyo tamu ya fainali, United walikuwa wa kwanza kupata bao dakika ya 12 kupitia kwa Lawrence, kabla ya Charly Musonda kuisawazishia The Blues dakika ya 21 na Lewis Baker kufunga la ushindi dakika ya 78.
Kikosi cha Manchester United kilikuwa: Amos, Varela, McNair, M Keane, James/Blackett dk81, Janko, Ekangamene, Pearson, A Pereira, Lawrence/Harrop dk84 na Wilson/Weir dk67.
Chelsea: Blackman, Ssewankambo, Aina, Christensen, Nditi, Loftus-Cheek/Palmer dk77, Baker, Ake, Swift, Feruz na C Musonda/Colkett dk85.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video