Mlinda Mlango wa Yanga ambaye kwasasa yupo katika kashfa nzito ya kuuza mechi, Juma Kaseja akiwa katika mazoezi binafsi uwanja wa Karume leo jijini Dar es salaam. Kaseja ametemwa na kocha wa Yanga, Mholanzi Hans Van Der Pluijm katika kambi ya klabu hiyo inayojiandaa na mchezo wa kesho wa watani wa jadi dhidi ya Simba sc uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Home
»
»Unlabelled
» PICHA: LICHA YA KASEJA KUTEMWA NA YANGA KATIKA MCHEZO WA KESHO NA SIMBA SC, AENDELEA KIJIFUA KIVYAKE!!
Friday, April 18, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment