MANCHESTER
City imeweka hai matumaini ya ubingwa wa Ligi Kuu ya England, baada ya
kuilaza mabao 3-1 West Bromwich Albion usiku wa jana Uwanja wa Etihad.
Ushindi huo, unaifanya City itimize pointi 74 baada ya kucheza mechi 34 na inaendelea kushikilia nafasi ya tatu kwenye msimamo nyuma ya Chelsea pointi 75 za mechi 35 na Liverpool pointi 80 za mechi 35.
Ushindi huo, unaifanya City itimize pointi 74 baada ya kucheza mechi 34 na inaendelea kushikilia nafasi ya tatu kwenye msimamo nyuma ya Chelsea pointi 75 za mechi 35 na Liverpool pointi 80 za mechi 35.
Mabao
ya City usiku huu yamefungwa na Zabaleta dakika ya tatu, Aguero dakika
ya 10 na Demichelis dakika ya 36,wakati la West Brom limefungwa na
Dorrans dakika ya 16.
0 comments:
Post a Comment