Friday, April 18, 2014

"Azam FC ambao ni mabingwa wapya wa Tanzania Bara leo saa 8 mchana baada ya Swala ya Ijumaa watatembelea kituo cha Watoto yatima cha Chamazi Magengeni, kama sehemu ya sherehe za ubingwa ambazo zitahitimishwa kesho pale Azam Complex-Chamazi. Azam FC itakuwa na wachezaji wake wote walioipa ubingwa pamoja na benchi la ufundi chini ya Mwalimu Omog. Wakiwa pale watatoa zawadi kwa watoto na kula nao chakula cha mchana."

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video