Friday, April 18, 2014

BAADA ya kulaumiwa kuwa kiwango cha Bayern Munich kimeshuka kwa siku za karibuni, kocha mkuu Pep Gaurdiola anaamini timu yake itarudi katika kiwango chake dhidi ya Real Madrid katika mchezo wa nusu fainali wa ligi ya mabingwa barani Ulaya.

Guardiola amewasifu vijana wake kwa kuonesha kiwango kizuri katika mazoezi, na kusema kuwa watarudisha makali yao ya msimu uliopita katika michuano hiyo mikubwa kwa ngazi ya klabu.

Kikosi cha Bayern tayari kimeshafanikiwa kutwaa ubingwa wa Bundesliga na sasa kinaliwinda kombe la UEFA na DFB-Pokal.

Wakitokea katika mafanikio ya kuwatoa Manchester United robo fainali ya UEFA, Bayern walikula kipigo cha mabao 3-0 katika mchezo wa ligi dhidi ya  Borussia Dortmund jumamosi iliyopita .

Pia wakitokea katika mafanikio ya kufuzu fainali ya DFB-Pokal kwa ushindi wa mabao 5-1 dhidi ya Kaiserslautern katikati ya wiki, Bayern watawavaa Eintracht Braunschweig katika mchezo wa ligi kabla ya kukabiliana na Real Madrid wiki ijayo.

Guardiola amekubali kufanya makosa mechi chache zilizopita na ndio maana wachezaji wake wamekuwa wakijituma zaidi katika mazoezi ili kurudi reline.

“Mechi dhidi ya Braunschweig ni muhimu sana kwetu. Ni kipimo kizuri kabla ya kucheza na Real Madrid”.

“Nina uhakika mbele ya Real Madrid moja ya klabu bora zaidi duniani, tutajipanga vizuri na kuonesha kiwango cha juu”.

‘Baada ya kichapo cha Borrusia tumeboresha zaidi mazoezi, Matokeo yale yalikuwa makosa yangu na sio wachezaji”. Alisema Guardiola.

Guardiola ataingia katika mchezo wa wikiendi wa Bundesliga bila mlinda mlango wake namba moja Manuel Neuer na beki David Alaba ambao ni majeruhi.


Alaba anaumwa, laki I taarifa nzuri kwa Guardiola ni kuwa Thiago Alcantara aliyekuwepo nje ya uwanja kwa wiki nane kwa majeruhi ya goti, sasa anaendelea vizuri na anaweza kucheza.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video